Upendo Nkone - Usinipite Bwana Lyrics

Contents:

Usinipite Bwana Lyrics

Usinipite bwana usinipite
Unapogusa wengine nami niguse
(Usinipite bwana usinipite
Unapogusa wengine nami niguse)

Usinipite bwana usinpite
Unapogusa wengine nami niguse
(Usinipite bwana usinipite
Unapogusa wengine nami niguse)

Mawazo yangu na moyo wangu
Nakungoja uniguse
Akili zangu ufaham wangu
Vyote vyakungoja

Ninayo iman ukinigusa
Napokea uzima
Magonjwa yote mwilini mwang
Yataondoka

Usinipite bwana usinipite
Unapogusa wengine nami niguse

Mkono wako gusa tumbo langu
Naomba uponyaji
Kichwa changu na mikono yangu
Na miguu yangu

Na macho yangu naomba uyaguse
Nipate kukuona
Naziamini kazi zako Mungu
Naomba niguse

Usinipite bwana usinipite
Unapogusa wengine nami niguse

Eeh ndugu yangu Yesu anaguvu
Ruhusu akuguse
Familia yako na ndoa yako
Yesu ataponya
Usikate tamaa kwa uliyo nayo
Kwa Mungu yawezekana
Alivyo hurumia wengine
Na kwako atafanya

Usinipite bwana usinipite (ooh ooh)
Unapogusa wengine nami niguse
(Usinipite bwana)
Usinipite bwana(usinipite Yesu)
Usinipite (Nakungoja bwana)
Unapogusa wengine (Eeh mwokozi)

Nami niguse (Eeh usinipite Yesu)
Usinipite bwana (Naomba bwana)
Usinipite (Eeh baba) 
Unapogusa wengine (Wengine) nami niguse

Usinipite bwana usinipite
Unapogusa wengine nami niguse
Usinipite bwana (Usinipite babaa) 
Usinipite (Nakuita Yesu)

Unapogusa wengine (Eeh yeye baba) 
Nami niguse (Usinipite baba yangu)
Usinipite bwana (Usinipite bwana)
Usinipite (Nakungoja bwana) 
Unapogusa wengine (Nami niguse baba)
Nami niguse (Niguse bwana wangu)


Upendo Nkone Songs

Related Songs